Professional Blog Viewer

Browse blog posts clean and secured.

Total Posts
8
Quick and secure filtering

🔖 Latest Blog Posts

Showing 1 to 6 of 8 posts
Page 1 of 2

A

🗓 January 3, 2026 at 12:13 pm
C

TAARIFA KWA WAZAZI/WALEZI WA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA

🗓 August 22, 2025 at 10:23 am
Karibu mzazi
Matokeo ya darasa la saba ya mtihani wa Pre-necta yameshatoka. Hivyo, ni nafasi yako sasa ya kuangalia matokeo ya mwanao na kufuatilia maendeleo yake.
Hatua za kuingia kwenye mfumo wetu wa matokeo (mwanzugi.com):
• Fungua Google/Chrome kwenye simu au kompyuta yako.
• Andika neno mwanzugi.com kisha ingia.
• Bonyeza sehemu ya "student"
• Ingiza jina la mtumiaji (username) na neno la siri (password) ulilopewa na shule.
• Ubonyeza kwenye neno" pre necta"
• Baada ya kuingia, utapata matokeo ya mwanao pamoja na ripoti ya maendeleo yake.
Umuhimu wa kutumia mfumo huu:
✔️ Unakupa taarifa za haraka na sahihi za matokeo.
✔️ Husaidia mzazi kufuatilia maendeleo ya kitaaluma ya mtoto hatua kwa hatua.
✔️ Ni njia salama na ya kidijitali inayokuwezesha kujua changamoto na mafanikio ya mwanao mapema ili kuchukua hatua stahiki.
✔️ Mfumo unapatikana muda wowote, popote ulipo.

MWANZUGI MAENDELEO,MAENDELEO MWANZUGI

TAARIFA KWA MZAZI

🗓 August 22, 2025 at 7:28 am
Karibu mzazi
Matokeo ya darasa la nne ya mtihani wa Pre-Mock yameshatoka. Hivyo, ni nafasi yako sasa ya kuangalia matokeo ya mwanao na kufuatilia maendeleo yake.
Hatua za kuingia kwenye mfumo wetu wa matokeo (mwanzugi.com):
• Fungua Google/Chrome kwenye simu au kompyuta yako.
• Andika neno mwanzugi.com kisha ingia.
• Bonyeza sehemu ya "student"
• Ingiza jina la mtumiaji (username) na neno la siri (password) ulilopewa na shule.
• Ubonyeza kwenye neno" pre mock"
• Baada ya kuingia, utapata matokeo ya mwanao pamoja na ripoti ya maendeleo yake.
Umuhimu wa kutumia mfumo huu:
✔️ Unakupa taarifa za haraka na sahihi za matokeo.
✔️ Husaidia mzazi kufuatilia maendeleo ya kitaaluma ya mtoto hatua kwa hatua.
✔️ Ni njia salama na ya kidijitali inayokuwezesha kujua changamoto na mafanikio ya mwanao mapema ili kuchukua hatua stahiki.
✔️ Mfumo unapatikana muda wowote, popote ulipo.

MWANZUGI MAENDELEO,MAENDELEO MWANZUGI

TAARIFA

🗓 August 21, 2025 at 9:03 am
“Habari, zoezi la usahihishaji wa mitihani ya majaribio ya darasa la nne na la saba linaendelea kwa uangalifu mkubwa. Lengo ni kuhakikisha kila mwanafunzi anapata mrejesho sahihi ili kuboresha uwezo wake. Tuwatie moyo watoto wetu kwa kuwahimiza kusoma kwa bidii zaidi, kwani juhudi zao za leo ndizo mafanikio ya kesho.”
🔱MWANZUGI SECONDARY SCHOOL🔱

TAARIFA KWA WAZAZI NA WALEZI

🗓 August 20, 2025 at 6:11 pm
UJUMBE KWA WAZAZI WA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA NA DARASA LA NNE
Wazazi /Walezi,
Tunapenda kukujulisha kuwa bado tunaendelea na mitihani ya maandalizi kwa ajili ya kuwaweka sawa wanafunzi wetu ili wazidi kuwa bora kitaaluma na kifikra.
Utaratibu wa matokeo utakapo tayari:
• Utapokea SMS ya taarifa kwamba matokeo yametoka.
• Fungua Google/Chrome kwenye simu yako.
• Tafuta neno: mwanzugi.com
• Ingia kwenye tovuti kisha chagua “student”.
• Weka (username) na neno siri (password) kuangalia matokeo.
Kumbuka: Utaratibu ni uleule kama ulivyokuwa awali.
🌹 “Mafanikio ya mwanafunzi ni tunda la mshikamano kati ya mzazi, mwalimu na mwanafunzi mwenyewe. Tukisimama pamoja, tutavuna matokeo bora.” 🌹

TAARIFA

🗓 August 16, 2025 at 8:34 am
TAARIFA
Tarehe 15/08/2025, siku ya Ijumaa, katika Shule ya Msingi mwanzugi kimefanyika kikao cha tathmini ya kazi za kila idara kwa kipindi cha Julai – Agosti 2025.
Kikao hiki kililenga kupitia mafanikio yaliyopatikana, changamoto zilizojitokeza pamoja na kuweka mikakati madhubuti ya kuboresha utendaji katika kipindi kijacho. Viongozi wa idara mbalimbali walitoa taarifa zao na mjadala wa pamoja ulifanyika kwa lengo la kuinua kiwango cha taaluma na maendeleo ya shule kwa ujumla.
Kwa pamoja, kikao kiliwahimiza walimu na wafanyakazi wote kuendelea kushirikiana, kuongeza bidii na kuhakikisha shule inaendelea kuwa mfano bora katika elimu na malezi ya mtoto.
Kikao hichi kiliongozwa na:
MWL MKUU: SAID MUNENE